Mbosso Ft Diamond Platnumz - Yataniua (Official Audio & Lyric Video)
3:30
Mbosso Ft Diamond Platnumz - Yataniua (Official Audio & Lyric Video)
Get #KhanEP Now 👇🏼 https://mbosso.lnk.to/khanep Mbosso's first EP, titled "Khan," comprises 6 tracks spanning genres such Afrobeats, Bongo Fleva, Amapiano, Zouk, and Arabic and was inspired by Indian culture. This EP is appropriately titled "Khan" because of the message he has consistently delivered through his music. Fans of Mbosso often ...
YouTubeMbosso已浏览 356.5万 次2022年10月27日
歌词
(Ni nini hiki mbona chanizuzua?)
(Nini hiki mbona chanisumbua?)
(Nakaribia kuzalilika) (S2kizzy baby)
(Nakaribia kuzalilika)
Aliyeumba mapenzi hakusema yana maumivu
Aliyeumba mapenzi hakusema unaua wivu
Gharama, mapenzi gharama
Utachukia ndugu, marafiki, ugomvi na mama
Gharama, mapenzi gharama
Na ni donda sugu halitibiki ukishazama
Unamuamini na kudhani ndugu yako
Kumbe kijini, ndio baby wa baby wako
Mapenzi yataniua
Bora nitafute pesa nianze jishaua (niwe happy now)
Mi' mahaba yataniua (yata ni-kill)
Bora nitafute pesa nianze jishaua
Nikizipata ni
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
Mitungi, mitungi, mitungi, mitu-tu
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
Na watakoma aisee, hili party
Nyama choma ashe, aje?
Muziki mangoma aje? Vya Arusha nivichomaje, aje?
Watakoma aisee, hili party
Nyama choma ashe, aje?
Muziki magoma aje? Vya Arusha nitavi-shh
Nipite na kila mtu
Hadi we, hadi we
Hadi we, hadi wewe
Hadi we, hadi we
Hadi we, hadi wewe (eh)
Ka' kupenda (aku), kampende baba 'ako (ah baba 'ako)
Si' unampenda? Kampende dada 'ako (ah dada 'ako)
Ka' kupenda, kampende baba 'ako (ah baba 'ako)
Si' unampenda? Kampende kaka 'ako (ah kaka 'ako)
Mapenzi yataniua (yata ni-kill)
Bora nitafute pesa nianze jishaua (niwe happy now)
Mi' mahaba yataniua (yata ni-kill)
Bora nitafute pesa nianze jishaua
Nikizipata ni
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
Mitungi, mitungi, mitungi, mitu-tu
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
Mitungi, mitungi, mitungi, mitungi
(Gharama, mapenzi gharama)
(Utachukia ndugu, marafiki, ugomvi na mama)
(Gharama, mapenzi gharama)
(Na ni donda sugu halitibiki ukishazama)
Nipite na kila mtu
Hadi we, hadi we
Hadi we, hadi wewe
Hadi we, hadi we
Hadi we, hadi wewe (Kamix lizer)
反馈